JE NANI ALIIBADILISHA SABATO?
Katika Danieli 7:25, Mungu anaonyesha wazi kwamba kuna mamlaka itakayokuja kubadili sheria zake.
“Naye (mnyama) atanena maneno kinyume chake aliye juu…Naye ataadhimu kubadili majira na sheria…” Danieli 7:25
Je ni nani hapa duniani mwenye uwezo wa kubadili majira na sheria? Nani hudai kuwa anauwezo wa kubadili majira na sheria?
“Papa ana uwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo.”
“Papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cop. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.
Kama mamlaka ya upapa katika kanisa la Romani Katoliki inao uwezo wa kubadilisha sheria ya Mungu. Je ilibadilisha Sabato takatifu ya Bwana? Je iliingiza utunzaji wa Jumapili badala ya utunzaji wa Jumamosi? Katika katekism ya mafundisho ya katoliki kuna maneno yafuatayo.
“Swali-Siku ya Sabato ni ipi?
Jibu-Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali-Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa la katoliki, katika balaza la Laodikia (364 B.K.), liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.
Swali-Kwanini kanisa la katoliki liliweka Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi, kwa sababu Kristo alifufuka kutoka kwa wafu Jumapili, na Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume Jumapili.
Swali-Kwa mamlaka gani kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi kwa ukamilifu wa ule uwezo wa Uungu ambao Yesu Kristo aliutoa kwake.” –The Convert Catechism of Catholic Doctrine, Peter Geiermann, C.SS.R., (1946), p 50
“Kanisa la Mungu limeona ni vema kuhamisha uazimishaji na utunzaji wa Sabato kwenda Jumapili!” –Catechism of the Council of Trent, p 402, toleo la pili (English), 1937 (kwanza ilichapishwa 1560)
“Kanisa Katoliki,” alisema kadinali Gibbons, “kwa wema wa kazi yake ya Uungu liliibadilisha siku kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –Catholic Mirror Sept 23, 1983.
“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –-H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons
“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.
Unadhani kwanini kanisa linadai liko juu zaidi ya Biblia? Kwa sababu kanisa limeibadilisha Sabato, na Wakristo wengi wanatii amri ya kanisa la katoliki kwa kutunza Jumapili, kuliko amri ya Mungu kutunza Jumamosi.
“…nithibitishie kutoka kwenye Biblia pekee kwamba ninalazimika kutunza Jumapili kitakatifu. Hakuna sheria kama hiyo kwenye Biblia. Ni sheria ya kanisa takatifu la katoliki pekee. Biblia inasema, ‘Ikumbuke siku ya Sabato na uitakase.’ Kanisa katoliki linasema, ‘Hapana, kwa nguvu zangu za uungu naitangua siku ya Sabato na kuwaamuru mtunze kitakatifu siku ya kwanza ya wiki. Na lo! ulimwengu wote uliostaarabika unainama chini katika utiifu wa hofu kwa amri ya kanisa takatifu la katoliki.” –kuhani Thomas Enright, Redemptorist Catholic College, kansans city, mo., lecture “sunday in history” p 56, February 18, 1884.
“Mamlaka ya kanisa yasingefungwa na mamlaka ya maandiko, kwa sababu kanisa limeibadilisha Sabato kwenda jumapili, siyo kwa amri ya Kristo, lakini kwa mamlaka yake lenyewe.” –Canon and Tradition, p 263
“Jumapili ni tasisi ya katoliki, na madai yake kuitunza, yanaweza kulindwa na misingi ya kikatoki pekee…kutoka mwanzo mpaka mwisho wa maandiko hakuna fungu hata moja linalothibitisha kuhamishwa kwa Ibaada ya hadhara ya wiki kutoka siku ya mwisho ya wiki kwenda ya kwanza.” –The Catholic Press, Sydney, Australia, August, 1900.
“Kanisa la katoliki kwa zaidi ya miaka elfu moja kabla hajawepo mprotestanti…liliibadilisha siku kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –Catholic Mirror, September 23, 1893.
“Labda kitu kilicho wazi hasa, badiliko kuu la kimapinduzi kanisa lilifanya, lilitokea katika karne ya kwanza, Siku takatifu, Sabato, ilibadilishwa kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. ‘Siku ya Bwana,’ ilichaguliwa, siyo kutoka katika agizo lolote lililoandikwa katika Maandiko, lakini kutoka katika ufahamu wa kanisa wa uwezo wake lenyewe…Watu ambao hudhani kwamba maandiko, yanatakiwa kuwa mamlaka yote, kimantiki huwa Waadventista Wasabato, na kutunza Jumamosi kitakatifu.” –(Saint Catherine Church Sentinel, Algonac, Michigan, May 21, 1995)
Kwa hiyo jumapili ni amri ya kanisa katoliki, na wote wanaoitunza jumapili wanatii mamlaka ya kanisa la katoliki, na siyo Biblia.
0689980058
0627729770
Katika Danieli 7:25, Mungu anaonyesha wazi kwamba kuna mamlaka itakayokuja kubadili sheria zake.
“Naye (mnyama) atanena maneno kinyume chake aliye juu…Naye ataadhimu kubadili majira na sheria…” Danieli 7:25
Je ni nani hapa duniani mwenye uwezo wa kubadili majira na sheria? Nani hudai kuwa anauwezo wa kubadili majira na sheria?
“Papa ana uwezo wa kubadili majira, kubadili sheria, na kuachana na mambo yote, hata maagizo ya Kristo.”
“Papa ana mamlaka na maranyingi ameyatumia, kuachana na amri ya Kristo.” –Decretal, de Tranlatic Episcop. Cop. (The Pope can modify divine law.) Ferraris’ Ecclesiastical Dictionary.
Kama mamlaka ya upapa katika kanisa la Romani Katoliki inao uwezo wa kubadilisha sheria ya Mungu. Je ilibadilisha Sabato takatifu ya Bwana? Je iliingiza utunzaji wa Jumapili badala ya utunzaji wa Jumamosi? Katika katekism ya mafundisho ya katoliki kuna maneno yafuatayo.
“Swali-Siku ya Sabato ni ipi?
Jibu-Jumamosi ni siku ya Sabato.
Swali-Kwanini tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Tunatunza Jumapili badala ya Jumamosi kwa sababu kanisa la katoliki, katika balaza la Laodikia (364 B.K.), liliihamisha kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.
Swali-Kwanini kanisa la katoliki liliweka Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi, kwa sababu Kristo alifufuka kutoka kwa wafu Jumapili, na Roho Mtakatifu aliwashukia Mitume Jumapili.
Swali-Kwa mamlaka gani kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi?
Jibu-Kanisa liliweka Jumapili badala ya Jumamosi kwa ukamilifu wa ule uwezo wa Uungu ambao Yesu Kristo aliutoa kwake.” –The Convert Catechism of Catholic Doctrine, Peter Geiermann, C.SS.R., (1946), p 50
“Kanisa la Mungu limeona ni vema kuhamisha uazimishaji na utunzaji wa Sabato kwenda Jumapili!” –Catechism of the Council of Trent, p 402, toleo la pili (English), 1937 (kwanza ilichapishwa 1560)
“Kanisa Katoliki,” alisema kadinali Gibbons, “kwa wema wa kazi yake ya Uungu liliibadilisha siku kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –Catholic Mirror Sept 23, 1983.
“Bila shaka kanisa la katoliki hudai kuwa badiliko, (la Sabato Jumamosi kwenda Jumapili) ilikuwa ni kitendo chake…na kitendo hicho ni ALAMA ya mamlaka yake katika mambo ya kidini.” –-H.F. Thomas, Chancellor of Cardinal Gibbons
“Jumapili ni ALAMA yetu ya mamlaka…kanisa liko juu ya Biblia, na uhamishaji huu wa utunzaji wa Sabato ni ushahidi wa jambo hilo la ukweli.” –Catholic Record of London, Ontario Sept 1, 1923.
Unadhani kwanini kanisa linadai liko juu zaidi ya Biblia? Kwa sababu kanisa limeibadilisha Sabato, na Wakristo wengi wanatii amri ya kanisa la katoliki kwa kutunza Jumapili, kuliko amri ya Mungu kutunza Jumamosi.
“…nithibitishie kutoka kwenye Biblia pekee kwamba ninalazimika kutunza Jumapili kitakatifu. Hakuna sheria kama hiyo kwenye Biblia. Ni sheria ya kanisa takatifu la katoliki pekee. Biblia inasema, ‘Ikumbuke siku ya Sabato na uitakase.’ Kanisa katoliki linasema, ‘Hapana, kwa nguvu zangu za uungu naitangua siku ya Sabato na kuwaamuru mtunze kitakatifu siku ya kwanza ya wiki. Na lo! ulimwengu wote uliostaarabika unainama chini katika utiifu wa hofu kwa amri ya kanisa takatifu la katoliki.” –kuhani Thomas Enright, Redemptorist Catholic College, kansans city, mo., lecture “sunday in history” p 56, February 18, 1884.
“Mamlaka ya kanisa yasingefungwa na mamlaka ya maandiko, kwa sababu kanisa limeibadilisha Sabato kwenda jumapili, siyo kwa amri ya Kristo, lakini kwa mamlaka yake lenyewe.” –Canon and Tradition, p 263
“Jumapili ni tasisi ya katoliki, na madai yake kuitunza, yanaweza kulindwa na misingi ya kikatoki pekee…kutoka mwanzo mpaka mwisho wa maandiko hakuna fungu hata moja linalothibitisha kuhamishwa kwa Ibaada ya hadhara ya wiki kutoka siku ya mwisho ya wiki kwenda ya kwanza.” –The Catholic Press, Sydney, Australia, August, 1900.
“Kanisa la katoliki kwa zaidi ya miaka elfu moja kabla hajawepo mprotestanti…liliibadilisha siku kutoka Jumamosi kwenda Jumapili.” –Catholic Mirror, September 23, 1893.
“Labda kitu kilicho wazi hasa, badiliko kuu la kimapinduzi kanisa lilifanya, lilitokea katika karne ya kwanza, Siku takatifu, Sabato, ilibadilishwa kutoka Jumamosi kwenda Jumapili. ‘Siku ya Bwana,’ ilichaguliwa, siyo kutoka katika agizo lolote lililoandikwa katika Maandiko, lakini kutoka katika ufahamu wa kanisa wa uwezo wake lenyewe…Watu ambao hudhani kwamba maandiko, yanatakiwa kuwa mamlaka yote, kimantiki huwa Waadventista Wasabato, na kutunza Jumamosi kitakatifu.” –(Saint Catherine Church Sentinel, Algonac, Michigan, May 21, 1995)
Kwa hiyo jumapili ni amri ya kanisa katoliki, na wote wanaoitunza jumapili wanatii mamlaka ya kanisa la katoliki, na siyo Biblia.
0689980058
0627729770
Comments
Post a Comment