CHIMBUKO LA UPAPA AU PEMBE NDOGO KATIKA UNABII WA BIBLIA?.
Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea dunia..............na habari za zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake, na ile pembe nyingine iliyozuka, ambayo mbele yake zilianguka pembe tatu; yaani, pembe ile yenye macho, na kanwa lililonena makuu, ambayo kuonekana kwake kulikuwa hodari kuliko wenzake. Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda , Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati DANIELI 7 ;17-22,25 . Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika DANIELI 2:;41-42
Maelezo😈😈
🧡Jambo la kuzingatia ni hili baada ya utawala huu wa RUMI YA UPAGANI ulifuata RUMI YA UKRISTO ina maana kwamba Rumi ya upangani iliungana na Rumi ya ukristo kuwa kitu kimoja
🛑PEMBE KUMI ZILITOKANA NA NINI?- Zilitokana na ufalme wa nne wa RUMI YA UPAGANI ufalme huu haukutawaliwa na mwingine ila ilipofikia mwisho uligawanyika katika falme kumi . 🧡
🛑PEMBE KUMI NA VIDOLE KUMI ZILIWAKILISHA NINI - Zinawakilisha ufalme wa RUMI YA UKRISTO
🛑FALME TATU AU PEMBE TATU ZILIZOANGUSHWA ZILIWAKILISHA NINI –Pembe tatu au falme tatu zilizoangushwa kwa kushambuliwa na pembe ndogo ambazo ni HERULI,VANDALS,NA OSTROGOTHS
🛑FALME SABA AU PEMBE SABA ZILIZOBAKI NI NCHI GANI?-Pembe au Falme saba zilizobaki ambazo ni England,France,Spain,Portugal,Germany,Switzeland ,Italy
🛑UTAWALA HUU WA RUMI YA UKRISTO -Ulianza kutawala dunia tangu mwaka 476 A.D utaende hadi mwisho wa kufunga historia ya ulimwengu na baada tu ya utawala huu Yesu anakuja katika Mawingu ya Mbinguni;
🛑PEMBE NDOGO NINANI? JIFUNZE YAFUATAYO
♨️♨️MAMBO SITA YANAYOHUSU PAPA AU PEMBE NDOGO♨️♨️
✅1. PEMBE NDOGO, ATATOKEA KATIKA UFALME WA WARUMI, LAKINI ATAKUWA MBALI NAZO.
Hivyo Pembe ndogo si ufalme tu kama falme zingine kumi lakini ni NGUVU ZA KIDINI ZILIZOINUKA MIONGONI MWA SERIKARI Maneno ya askofu wa Rumi kwanza yalionekana kama yatoka kwa mshauri na ndugu mkubwa Miaka ilipoendelea mbele maneno yake yalianza kupokelewa kama yatoka kwa baba.Ufalme wa Rumi ulipozidi kudhoofika askofu (sasa aitwaye PAPA maana yake (baba katika kilatini akaanza kuheshimiwa kama BWANA Mwisho yalifanywa madai ya kiburi ya kuwa PAPA ni MUNGU hapa duniani.
✅2, ATAPIGANA KWA NGUVU KUTIISHA FALME TATU ZILIZOPINGA NIA YAKE.
Falme tatu zilizongolewa kabisa mbele ya papa ni HERULI chini ya Odoace, VANDALi Na OSTROGOSTHS chini ya Theodoric
✅3. ATANENA MANENO MAKUU (YA KUFURU –TAZAMA UFUNUO 13:5) JUU YAKE MUNGU ALIYE JUU
Pembe ndogo itanena maneno mkuu kinyume chake aliye juu .madai yake ya kiburi na kufuru yaliyofanywa na PAPA yasemwayo hapa yametwaliwa kutoka katika FERRIS ECCLESIASTICAL DICTIONARY
Papa ni mwenye kuheshimiwa sana na aliyetukuzwa ,yeye si mtu tu ,bali ni kama aliye Mungu ,na kasisi wa Mungu PAPA huvishwa taji iliyo Na matabaka MATATU ya kuwa Ni mfalme wa Mbinguni na wa Duniani na AHERA
✅4. ATAWADHOOFISHA.MAANA YAKE ATAWATESA WATAKATIFU ALIYE JUU
Wakati wa zama za giza ,ambao ulianza katika mwaka 538 B.K kanisa la kirumi na madhehebu yake liliwatesa wakristo wapatao 50,000,000 mpaka kufa .habari hii ya kuogofya ni historia moja ya giza kabisa katika historia ya mwanadamu .
✅5. ATAJARIBU KUBADIILI MAJIRA NA SHERIA YA MUNGU.
Pembe ndogo atajaribu kubadili nyakati na na sheria ya Mungu tutumie maneno machache kutoka katika ROMANI COTHOLIC PROMTA BIBLOTHECA YALIYOANDIKWA NA FERRARIS;Papa Ni mwenye mamlaka makuu na uweza hata aweza kugeuza?(kubadili) kueleza au kutafsiri sheria takatifu VOL ,UK,29 KATIKA KATEKISIMU ZA KANISA LA KIRUMI zitumiwazo kuwafundisha wanafunzi sheria ya Mungu imegeuzwa kidogo ,kwa sababu hiyo amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu imefutwa .Amri ya nne imefupishwa ili kuendeleza kushika SIKU YA KWANZA YA JUMA (sunday)mahali pa sabato ya kweli.Amri ya kumi imegawanywa kuwa amri mbili.
✅6. ATAENDELEA KWA WAKATI NA NYAKATI MBILI NA NUSU ⁵ 13:5)
Siku moja katika unabii huwakilisha –mwaka mmoja ,EZEKIELI 4:6, Tena utakapozitimiza hizo, utalala kwa ubavu wako wa4 kuume, nawe utauchukua uovu wa nyumba ya Yuda; siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagizia (AU HESABU 14:24)
JASTINIA alitoa amri katika mwaka 5 wa 538 B.K akimpa papa mamlaka yasiyo na mpaka juu ya makanisa5 yote.amri hiyo ilitimilizwa katika5 mwaka wa 538 B.K wakati pembe tatu zilizopinga kanisa la Rumi na madhehebu yake zilipoangamizwa kwa vita.hivyo wakati wa kuanza miaka 1260 baadaye ,PAPA ALIPOTEZA MAMLAKA YAKE KWA MUDA KATIKA FEBRUARI 20,1798 BERTHIER JEMEDARI WA JESHI LA UFARANSA CHINI YA NAPOLEONI alimteka Papa na kumfunga katika Rumi,ndio ulikuwa mwisho wa kanisa la Rumi na madhehebu yake kwa muda .baada ya wakati huo hakukutokea mateso ya watakatifu ULAYA walikuwa huru kumwabudu MUNGU.
Wanyama hao wakubwa walio wanne ni wafalme wanne watakaotokea dunia..............na habari za zile pembe kumi zilizokuwa kichwani mwake, na ile pembe nyingine iliyozuka, ambayo mbele yake zilianguka pembe tatu; yaani, pembe ile yenye macho, na kanwa lililonena makuu, ambayo kuonekana kwake kulikuwa hodari kuliko wenzake. Nikatazama, na pembe iyo hiyo ilifanya vita na watakatifu, ikawashinda , Naye atanena maneno kinyume chake Aliye juu, naye atawadhoofisha watakatifu wake Aliye juu; naye ataazimu kubadili majira na sheria; nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, na nyakati mbili, na nusu wakati DANIELI 7 ;17-22,25 . Na kama vile ulivyoziona hizo nyayo za miguu na vidole vyake, kuwa nusu udongo wa mfinyanzi, na nusu chuma, ufalme ule utakuwa ufalme uliogawanyika; lakini ndani yake zitakuwako nguvu za chuma, kama vile ulivyoona kile chuma kimechanganyika na udongo wa matope. Na kama vidole vya zile nyayo vilikuwa nusu chuma na nusu udongo, kadhalika ufalme ule utakuwa nusu yake una nguvu, na nusu yake umevunjika DANIELI 2:;41-42
Maelezo😈😈
🧡Jambo la kuzingatia ni hili baada ya utawala huu wa RUMI YA UPAGANI ulifuata RUMI YA UKRISTO ina maana kwamba Rumi ya upangani iliungana na Rumi ya ukristo kuwa kitu kimoja
🛑PEMBE KUMI ZILITOKANA NA NINI?- Zilitokana na ufalme wa nne wa RUMI YA UPAGANI ufalme huu haukutawaliwa na mwingine ila ilipofikia mwisho uligawanyika katika falme kumi . 🧡
🛑PEMBE KUMI NA VIDOLE KUMI ZILIWAKILISHA NINI - Zinawakilisha ufalme wa RUMI YA UKRISTO
🛑FALME TATU AU PEMBE TATU ZILIZOANGUSHWA ZILIWAKILISHA NINI –Pembe tatu au falme tatu zilizoangushwa kwa kushambuliwa na pembe ndogo ambazo ni HERULI,VANDALS,NA OSTROGOTHS
🛑FALME SABA AU PEMBE SABA ZILIZOBAKI NI NCHI GANI?-Pembe au Falme saba zilizobaki ambazo ni England,France,Spain,Portugal,Germany,Switzeland ,Italy
🛑UTAWALA HUU WA RUMI YA UKRISTO -Ulianza kutawala dunia tangu mwaka 476 A.D utaende hadi mwisho wa kufunga historia ya ulimwengu na baada tu ya utawala huu Yesu anakuja katika Mawingu ya Mbinguni;
🛑PEMBE NDOGO NINANI? JIFUNZE YAFUATAYO
♨️♨️MAMBO SITA YANAYOHUSU PAPA AU PEMBE NDOGO♨️♨️
✅1. PEMBE NDOGO, ATATOKEA KATIKA UFALME WA WARUMI, LAKINI ATAKUWA MBALI NAZO.
Hivyo Pembe ndogo si ufalme tu kama falme zingine kumi lakini ni NGUVU ZA KIDINI ZILIZOINUKA MIONGONI MWA SERIKARI Maneno ya askofu wa Rumi kwanza yalionekana kama yatoka kwa mshauri na ndugu mkubwa Miaka ilipoendelea mbele maneno yake yalianza kupokelewa kama yatoka kwa baba.Ufalme wa Rumi ulipozidi kudhoofika askofu (sasa aitwaye PAPA maana yake (baba katika kilatini akaanza kuheshimiwa kama BWANA Mwisho yalifanywa madai ya kiburi ya kuwa PAPA ni MUNGU hapa duniani.
✅2, ATAPIGANA KWA NGUVU KUTIISHA FALME TATU ZILIZOPINGA NIA YAKE.
Falme tatu zilizongolewa kabisa mbele ya papa ni HERULI chini ya Odoace, VANDALi Na OSTROGOSTHS chini ya Theodoric
✅3. ATANENA MANENO MAKUU (YA KUFURU –TAZAMA UFUNUO 13:5) JUU YAKE MUNGU ALIYE JUU
Pembe ndogo itanena maneno mkuu kinyume chake aliye juu .madai yake ya kiburi na kufuru yaliyofanywa na PAPA yasemwayo hapa yametwaliwa kutoka katika FERRIS ECCLESIASTICAL DICTIONARY
Papa ni mwenye kuheshimiwa sana na aliyetukuzwa ,yeye si mtu tu ,bali ni kama aliye Mungu ,na kasisi wa Mungu PAPA huvishwa taji iliyo Na matabaka MATATU ya kuwa Ni mfalme wa Mbinguni na wa Duniani na AHERA
✅4. ATAWADHOOFISHA.MAANA YAKE ATAWATESA WATAKATIFU ALIYE JUU
Wakati wa zama za giza ,ambao ulianza katika mwaka 538 B.K kanisa la kirumi na madhehebu yake liliwatesa wakristo wapatao 50,000,000 mpaka kufa .habari hii ya kuogofya ni historia moja ya giza kabisa katika historia ya mwanadamu .
✅5. ATAJARIBU KUBADIILI MAJIRA NA SHERIA YA MUNGU.
Pembe ndogo atajaribu kubadili nyakati na na sheria ya Mungu tutumie maneno machache kutoka katika ROMANI COTHOLIC PROMTA BIBLOTHECA YALIYOANDIKWA NA FERRARIS;Papa Ni mwenye mamlaka makuu na uweza hata aweza kugeuza?(kubadili) kueleza au kutafsiri sheria takatifu VOL ,UK,29 KATIKA KATEKISIMU ZA KANISA LA KIRUMI zitumiwazo kuwafundisha wanafunzi sheria ya Mungu imegeuzwa kidogo ,kwa sababu hiyo amri ya pili inayokataza kuabudu sanamu imefutwa .Amri ya nne imefupishwa ili kuendeleza kushika SIKU YA KWANZA YA JUMA (sunday)mahali pa sabato ya kweli.Amri ya kumi imegawanywa kuwa amri mbili.
✅6. ATAENDELEA KWA WAKATI NA NYAKATI MBILI NA NUSU ⁵ 13:5)
Siku moja katika unabii huwakilisha –mwaka mmoja ,EZEKIELI 4:6, Tena utakapozitimiza hizo, utalala kwa ubavu wako wa4 kuume, nawe utauchukua uovu wa nyumba ya Yuda; siku arobaini, siku moja kwa mwaka mmoja, nimekuagizia (AU HESABU 14:24)
JASTINIA alitoa amri katika mwaka 5 wa 538 B.K akimpa papa mamlaka yasiyo na mpaka juu ya makanisa5 yote.amri hiyo ilitimilizwa katika5 mwaka wa 538 B.K wakati pembe tatu zilizopinga kanisa la Rumi na madhehebu yake zilipoangamizwa kwa vita.hivyo wakati wa kuanza miaka 1260 baadaye ,PAPA ALIPOTEZA MAMLAKA YAKE KWA MUDA KATIKA FEBRUARI 20,1798 BERTHIER JEMEDARI WA JESHI LA UFARANSA CHINI YA NAPOLEONI alimteka Papa na kumfunga katika Rumi,ndio ulikuwa mwisho wa kanisa la Rumi na madhehebu yake kwa muda .baada ya wakati huo hakukutokea mateso ya watakatifu ULAYA walikuwa huru kumwabudu MUNGU.
Comments
Post a Comment